Unapenda kuchepuka? Hatukukatazi,
lakini tunakupa tahadhari, mchepuko unakuathiri wewe na taifa zima
kuanzia sekunde unayoanza, kwa sababu itakupa ugonjwa, utaupeleka
nyumbani,
utamwambukiza mwenzako, mtaugua na kufa, mtaiacha yatima
familia yenu, mtazalisha watoto wa mitaani, watageuka majambazi na
kufanya uhalifu mitaani.
No comments:
Post a Comment