Nafikiri
wakati umefika sasa kwa Serikali ianze kuzuia watu kutoka Mikoani kuja
Dar, tumetosha sasa! ikiwezekana Waruhusiwe wale tu ambao wamepata kazi
au walioitwa kwenye usahili...
Hali inatisha sana ukienda Ubungo Mabasi yanakuja yamejaa na yanaondoka tupu, kwa nini hamkai huko Mikoani mbona mnatutambia kuna kuna Hali ya Hewa nzuri, sasa ni nini kinawaleta Dar?
Hali inatisha sana ukienda Ubungo Mabasi yanakuja yamejaa na yanaondoka tupu, kwa nini hamkai huko Mikoani mbona mnatutambia kuna kuna Hali ya Hewa nzuri, sasa ni nini kinawaleta Dar?
No comments:
Post a Comment