Friday, April 25, 2014

MASKINI MTITU WA BONGO MOVIE...

MSANII wa filamu za Kibongo, William Mtitu ameelza kuwa, anakesha na kuomba ili Mungu amuwezeshe kumponya baba yake mzazi, Mzee John Mtitu ambaye yuko hoi hospitali kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Mzee John Mtitu akiwa hospitali.

Akizungumza kwa huzuni Mtitu alisema ni muda mrefu umepita tangu baba yake aanze kuugua na  kulazwa Taasisi ya Mifupa Moi akisumbuliwa na uvimbe kichwani hali iliyomsababishia afanyiwe upasuaji.

Msanii wa filamu za Kibongo, William Mtitu.

“Yaani nimehangaika sana na baba yangu, nimemaliza fedha nyingi yaani namuombea tu kwa Mungu amponye maana alifanyiwa upasuaji wa kichwa ni siku tano sasa hajazinduka,” alisema Mtitu.

No comments:

Post a Comment

INAYOFANANA

QWWWWWWWWWWWWWWW

Popular Posts