BAADA ya kutokea kwa sintofahamu ndani ya Bunge
Maalum la Katiba mjini Dodoma kwa wabunge wanaounda umoja wa Ukawa
kutoka nje, wengi wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kukivunja chombo hicho.
Rais Jakaya Kikwete akihutubia bungeni Dodoma.
“Wote tunajua kwamba kinachotafutwa pale ni katiba ya wananchi wote
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini ni jambo la ajabu kuona
wajumbe wanafika pale na kutanguliza misimamo yao na vyama vyao
utafikiri ndicho walichotumwa na wananchi, mimi nafikiri JK
angelivunjilia mbali bunge hili,” alisema.
Mwanamtwa
Palango wa Kurasini, alimlaumu Rais Kikwete kwa kuwajumuisha wabunge
kwenye bunge hilo maalum, kwani wao ndiyo chanzo cha kukwamisha mambo
mengi ya msingi kupata katiba mpya.
“Hakukuwa na sababu ya kuwajumuisha wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
tumeshawaona hawa ni watu wa malumbano tokea mwanzo, kuwaleta huku ni
kuvuruga mambo tu, hapa ilibidi Rais ateue mwenyewe wajumbe wasio
wanasiasa.
Angalia Kupitia Uwazi na Upate Nafasi ya Kuikosoa Jamiii Kwa Yale Uliyo yaona katika Uwazi Huo Kupitia hapa. Ona Uwazi kwa Ukaribu zaidi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
INAYOFANANA
QWWWWWWWWWWWWWWW
Popular Posts
-
Tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo kitaalamu linaitwa ‘Urinary Track Infections’ au kwa kifupi ‘UTI’ au imezoeleka kama Yut...
-
Unaweza kuamini ukiambiwa kuwa, umaarufu hapa Bongo unakuja na rangi yake ya kipekee, hata kwa watu wanaochipukia na kutamani k...
-
Taxi ambayo nayo ilisababishiwa ajari ikiwa katika eneo la tukio, huku askari polisi wakilinda usalama wa mali za abiria na baadhi ...
-
Elizabeth Michael ‘Lulu’. KWAKO Elizabeth Michael ‘Lulu’. Leo nimeona nikukumbu...
No comments:
Post a Comment