Friday, April 25, 2014

MFAHAMU MBUNGE MDOGO ZAIDI KATIKA BUNGE LA KATIBA..!


Mbunge Teddy Ladislaus Patrick (21), ndiyo mbunge mdogo kulioko wote katika bunge maalum la katiba linaoendela na vikao vyake mkoani Dodoma.

Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mh. Samuel Sitta akimuapisha Theddy L. Patrick kuwa mbune wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii, Kanda ya Kati.

Mbunge Theddy L. Patrick akiwasikiliza Wajumbe wengine wa bunge hilo, Mh. Betrice Shelukindo (kulia) na Mh. Hamad Rashid.

No comments:

Post a Comment

INAYOFANANA

QWWWWWWWWWWWWWWW

Popular Posts