Mbunge
Teddy Ladislaus Patrick (21), ndiyo mbunge mdogo kulioko wote katika
bunge maalum la katiba linaoendela na vikao vyake mkoani Dodoma.
Mwenyekiti
wa Bunge Maalum Mh. Samuel Sitta akimuapisha Theddy L. Patrick kuwa
mbune wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Picha na Deusdedit Moshi
wa Globu ya Jamii, Kanda ya Kati.
Mbunge Theddy L. Patrick akiwasikiliza Wajumbe wengine wa bunge hilo, Mh. Betrice Shelukindo (kulia) na Mh. Hamad Rashid.
No comments:
Post a Comment